Wednesday 20 May 2015

Jinamizi la mihadarati G Bissau awamu ya {2}


Likijulikana kama taifa la kwanza lililotambulika kwa ulanguzi wa mihadarati barani Afrika ,taifa la Guinea-Bissau limekuwa kitovu cha kimataifa cha biashara ya mihadarati kwa karibia muongo mmoja.
Ikiwa ni taifa lililokumbwa na mapinduzi ya kijeshi pamoja na ufukara,hutumiwa na walanguzi wa mihadarati kutoka Marekani Kusini kama njia ya kusafirisha dawa aina ya Coccaine hadi Ulaya.
'Hooked' kama inavyojulikana ni riwaya ya athari zinazosababishwa na biashara hiyo kwa binaadamu.
Share:

0 comments:

Blog Owner

Blog Owner
FESTO MDEMU

Blog Archive

Flag


Total Pageviews

Translate

Powered by Blogger.