Wednesday 16 July 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014







KWA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 INGIA HAPA,
http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE.htm



Share:

Thursday 10 July 2014


                                                                                                                                   

Tanzania kutoa mafunzo kwa askari wa Somalia 1,000


Tanzania imekubali kutoa mafunzo kwa askari wa Somalia kama sehemu ya jitihada zake kusaidia amani na usalama nchini Somalia, lakini baadhi ya maofisa wa Tanzania wameelezea wasiwasi kwamba kujihusisha zaidi katika masuala ya Somalia kunaweza kukaribisha mashambulio ya kigaidi kutoka kwa al-Shabaab.Mapatano ya kutoa mafunzo kwa askari wa Somalia 1,000 kwanza yalitolewa mwaka 2012, wakati Tanzania ilipokubali ombi la aliyekuwa rais wa Somalia Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed, ambalo tena limerudiwa na Rais Hassan Sheikh Mohamud mwaka huu. "Tumeandaa makambi ya mafunzo na wakati huu ninapozungumza kila kitu kiko tayari. Tunasubiri kutoka kwao kuteua askari 1,000 kuja hapa kwa ajili ya mafunzo, Tunasubiri kuwapa mafunzo kuwa askari wa kitaalamu ili kwamba wadumishe usalama wa nchi yao kutoa fursa ya kujihusisha katika masuala ya maendeleo." alisema Salva Rweyemamu, mkurugenzi wa mawasiliano wa rais wa Tanzania. 


Share:
wengi huamini panya haliwi, lakini panya ni mboga kwa baadhi ya makabila nchini Tanzania, hususa mkoa kama wa Mtwara. hivyo panya ni nyama kama nyama zingine wanavyoamini wao.


Share:

Blog Owner

Blog Owner
FESTO MDEMU

Blog Archive

Flag


Total Pageviews

Translate

Powered by Blogger.