Monday 8 June 2015

Hong Hong yatoa tahadhari ya MERS.


Serikali ya Hong Kong imetoa tahadhari dhidi ya kusafiri kwenda nchini Korea Kusini, kufuatia kuwepo mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome ambayo pia inafahamika kama MERS nchini humo.
Onyo hilo linatolewa kwa safari ambazo si za lazima, ishara kuwa Hong Kong inaamini kwamba usafiri kwenda Korea kusini ni jambo ambalo ni hatari.
Wizara ya afya nchini Korea Kusini inasema kuwa watu 7 kwa sasa wameaga dunia kutokana ugonjwa huo.
Kumeripotiwa visa 8 vipya vya homa ya MERS na kufikisha idadi ya watu walioambukizwa kuwa 95.
Share:

0 comments:

Blog Owner

Blog Owner
FESTO MDEMU

Blog Archive

Flag


Total Pageviews

Translate

Powered by Blogger.